Matokeo hayo ya kidato cha sita kwa mwaka 2017 yametoka leo .
Shule ambazo zipo kwenye kumi bora ni Marian Girls (Pwani) iliyoshika nafasi ya tano, Mzumbe (Morogoro) nafasi ya sita, St Marry Mazinde Juu (Tanga) nafasi ya saba, Tabora Boys (Tabora) nafasi ya nane, Feza BOYS (Dar es Salaam) nafasi ya tisa na Kibaha ya Pwani iliyoshika namba kumi.
No comments:
Post a Comment